Tuesday, March 24, 2009

Pikipiki Zaendeleza Vibano!


Kulingana na Taarifa ya Afisa Uhusiano wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ajali Muhimbili (MOI) Bwana Jumaa Almasi, haipiti siku bila kupokea majeruhi wa ajali ya pikipiki katika Taasisi hii. Aliyasema hayo alipokuwaakitoa taarifa ya waendesha pikipiki wawili walifikishwa hospitalini hapo jana, ambao ni Yuster kessy(35) ambaye aliangushwa katika pikipiki akiwa abiria. Aliteguka kiwiko cha mkono.

Mwingine ni Shomari Bakari saleh(39) ambaye alianguka akiwa anafanya michezo ya pikipiki lakini alipofika katika tuta la barabarani pikipiki ilimrusha na kumtupa chini. Aliumia mkono na goti na baada ya matibabu aliruhusiwa kwenda nyumbani.

Hoja: Nafikiri hatua za haraka zichukuliwe na mamlaka husika kudhibiti hili wimbi la ajali za pikipiki, kama alivyosema Afisa uhusiano wa MOI inaonekana ogezeko la pikipiki linachangia ongezeko la ajali.

No comments:

Post a Comment

blogarama - the blog directory
Directory of News Blogs
This blog gives information about accidents-vehicles,motorcycles,bycycles etc,also highlights the suffering of those involved in various accidents. It gives counselling to the accidents victims and information as to where they can get assistance be it legal or humanitarian.
Health blogs
eXTReMe Tracker