Ni hali ya kusikitisha kuona kwamba, uzio huu umeanza umeanza kutelekezwa baada ya kugongwa na magari kama inavyoonekana katika picha.
HOJA: Kabla hatujaanza kupokea takwimu za vifo vywa watembea kwa miguu, ni vema wahusika wakarudisha uzio huu, na wasichoke kwa kuwa unagongwa na magari mara kwa mara. Unaokoa maisha ya wengi.
No comments:
Post a Comment