Monday, March 2, 2009

Ajali Yaua Wawili Tarime!

Habari inayopatikana katika mtandao wa www.dullonet.com umeandika taarifa ya kwamba, watu wawili wamekufa papo na wengine 34 kujeruhiwa vibaya kufuatia ajali iliyotokea wilayani Tarime mkoani Mara kwa kulihusisha basi la Batco Coach la jijini Mwanza linalofanya safari zake Mwanza Sirari mpakani mwa Kenya na Tanzania, majira ya 12.30 asubuhi (Kwa habari zaidi tembelea; http://www.dullonet.com/02.03.09_ajali_tarime.php)

No comments:

Post a Comment

blogarama - the blog directory
Directory of News Blogs
This blog gives information about accidents-vehicles,motorcycles,bycycles etc,also highlights the suffering of those involved in various accidents. It gives counselling to the accidents victims and information as to where they can get assistance be it legal or humanitarian.
Health blogs
eXTReMe Tracker